Ujambo mpendwa, natamani ku share nawewe jambo hili, ni kwa nini wakristu waleo wanapenda ao kutamani sana baraka lakini hawapendi kuhubiriwa kuusu dhambi? Unadhani shida nigani? Asante kwa mchango wako. uwe na wakati mwema. 🙏🙏🙏
Mount Moriah Ministry of God, Ni huduma ipatayo misingi katika NENO LA MUNGU, Ni huduma ya MAOMBI, lengo letu ni kuondowa watu walio tekwa nyara au kufungwa na shetani na kuwaleta kwa kambi ya Mungu kupitiya nguvu ya maombi na Neno la Mungu. Tunapatikana nchini kenya mjini kakuma, lengo la blogi hii nikuzidi kuifikisha injili kwa wenye uitaji. Unaweza ongeya nasi kwenye baruwa pepe E-mail: mountmoriahministry@gmail.com ao kwenye sim (+254)714-981-516, kwa maitaji ao pendekezo zaidi, ubarikiwe
No comments:
Post a Comment