Wednesday, April 6, 2022

Kwa neno lako

Luc5:1-6 

[1]Ikawa makutano walipomsonga wakilisikiliza neno la Mungu, yeye alikuwa amesimama kando ya ziwa la Genesareti,

[2]akaona vyombo viwili vimekaa kando ya ziwa, lakini wavuvi wametoka, wanaosha nyavu zao.

[3]Akaingia katika chombo kimoja, ndicho chake Simoni, akamtaka akipeleke mbali kidogo na pwani. Akaketi, akawafundisha makutano ali chomboni.

[4]Hata alipokwisha kunena, alimwambia Simoni, Tweka mpaka kilindini, mkashushe nyavu zenu mvue samaki.

[5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.

[6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika;


Petro alikuwa bora sana katika urowaji lakini ujuzi haikumufanya apate samaki siku iyo. Inamaanisha kwamba kuna kitu ao utalaamu fulani petro aliitaji sana ili kupata samaki wengi. Nayo ilikuwa kukutana na Yesu Kristo. 


Mtumbwi imekataa maji, sababu ilijuwa leo nisiku kubwa sipashwi kuvuwa ao kukaribisha mtu mwengine tofauti na Kristo. Kabla ya shuguli inabidi kwanza ni mpokeye yeye aliye Mkuu kuliko chochote. Ndiposa maandiko inasema kwamba 


⬇️⬇️⬇️⬇️

Mimi Bwana ndiye nitakae kutanguliya mbele yako. 

KUMBUKUMBU LA TORATI 31:8 

Naye Bwana, yeye ndiye atakayekutangulia, atakuwa pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha, usiogope wala usifadhaike. 


Ndio mana baada ya mission being accomplished petro amerowa samaki wengi. Petro alikuwa under stress, machozi, usingisi maana alikuwa napenda kulala sana na nafikiri siku iyo petro akufika nhumbani sababu alikuwa ajapata kitu. 


Kilicho mfanya petro stress imuishe ni kukubali kuachiliya chombo chake kiweze kuifikisha injili siku iyo. Amekubali wito na baada ya kukubali Jesus amejitukuza kwake.

⬇️⬇️⬇️⬇️

Mahali akili yako inaishiya ndiko ya Mungu inaanziya, usiogope maana Mungu yu pamoja nawe kila siku na kila wakati, haijalishi hali unayo ipitiya.

Kama uleshindwa kabizi Mungu shida, vikwazo na vyote avichukuwe yeye. 

Yesu alikuwa na shabaa na petro sio mtumbwi, petro hakuwa na lolote lakufanya maana alikuwa tayari ameisha give up mapema.  Na vile gisi mpango wa Mungu uko kila siku perfect God akunyamanza, alimwambiya petro baada tu ya kumaliza ebu egesha mtumbwi wako kule, pale.

Petro akasema KWA NENO LAKO NITAFANYA

No comments:

Post a Comment