Thursday, April 14, 2022

Upendo unafaa kwa mkristo ao kwa kila mtu?

Ujambo mpendwa, ninakuja kukwambiya kwamba mda unaisha jaribu angalao kuwa na upendo kwa wale wanao kuudhi, kudharau, kuchukiya maana maandiko inasema wapendeni wanao wauzi. 

Kristo ni UPENDO,na yeye ndiye sababu ya sisi kusamehewa dhambi, maana isinge likuwa upendo wa Mungu kwetu sisi, Nani angelisimama? 

Upendo, Ni Sheria ao Amri tulio pewa na Mungu, tupendane Kama ndugu. Upendo usitiri dhambi, unapo mpenda jirani yako hauta musengenya, musema vibaya ao kutowa ma lalamishi mbaya sababu utakuwa unampenda. 

YESU KRISTO amekubali kufa kwa ajili yako na Mimi SABABU alitupenda. 
Tafuteni amani na watu wote, na muifwatiliye. Inanahana Mungu anaitaji kwetu kudumisha amani Kati Yetu. 

Upendo unafaa kwetu sisi kama wanadamu maana KRISTO amekufa sio kwa ajili ya dini bali kwa ajili ya Ulimwengu.

Kwa swali ao pendekezo yeyote, tutimiye batuwa pepe kwenye mountmoriahministry@gmail.com ao weka comment yako hapo chini, Asante 🙏🙏🙏

No comments:

Post a Comment